Dalili za mimba changa (dalili 15 muhimu) #mimba

Dalili za mimba changa ni mabadiliko ya mwili yanayotokea baada ya mwanamke kupata mimba.


Dalili  za mimba changa zinaweza kuonekana baada ya wiki moja tangu mimba itungwe.


Dalili za mimba changa zinaweza kuonekana au zisionekane.


ZIFUATAZO NI BAADHI YA DALILI ZA MIMBA CHANGA


1: KUKOSA HEZI


2: kuchoka saana


3: matiti kuuma


4: maumivu chini ya kitovu


5: kichefuchefu


6: kutapika


7: kikojoa Kila mara


8: moyo kwenda mbio


9: kuvimba miguu


10: kuchukia harufu


11: KUHARIBIKA sura


.12: Tumbo kukua


13: kuchagua vyakula


14: matiti kuwa makubwa


15: kitu kigumu kwenye matiti


Na hizo ni baadhi ya Dalili za mimba changa

Kujifunza zaidi tazama video

Dalili za mimba changa


TAZAMA VIDEO 👈



Post a Comment

Previous Post Next Post